CCM YAANZA KAMPENI ZA UBUNGE KALENGA KWA KISHINDO, UZINDUZI RASMI FEBRUARI 27, DOKII APAGAWISHA WAPIGA KURA
| Mgombea ubunge jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa akiwasili kijiji cha Mseke hii leo |
| Alisindikizwa na viongozi na walinzi wake wa chama |
| Ilikuwa furaha tele kwa baba yake mdogo Joachim Mgimwa |
| Niliwapenda walinzi wake jinsi walivyoonekana wakakamavu |
| Hapa alidhihirisha umma kwamba yeye ni mhehe, mzaliwa wa Iringa na Mtanzania asiye na chembechembe za uzungu kama inavyodaiwa; alicheza ngoma ya asili ya kwao pamoja na wazee hawa |
| Ilikuwa ni zaidi ya furaha |
| Dokii aliwanyanyua wananchi kwa kibao chake kinachomsifia Godfre Mgimwa |
| Nyomi ya kijiji cha Mseke |
| Wana kwaya nao walitumbuiza kwa nyimbo nzuri za kuisifu CCM na mgombea wao |
| Kulikuwa na usikivu wa hali ya juu |
| Katibu wa CCM wa wilaya ya Mufindi, Miraji Mtaturu alishusha nondo, akiwaponda Chadema na mgombea wao kwamba wananchi wa jimbo hilo wana Mkataba na CCM mpaka 2015 |
| Naye Katibu wa CCM Songea Mjini, Joseph Ndulango alikuwepo na atakuwepo mpaka siku ya uchaguzi |
| Katibu wa CCM Wilaya ya Tarime naye alikuwepo |
| Katibu wa CCM Bariadi, Miachel Bundara alisema mengi |
| Huyu ni Elisante Kimaro aliyenogesha mkutano huo kwa kuwataka wananchi wa jimbo hilo kuipondaponda Chadema kwa kura |
| Omary Mtuwa Katibu wa CCM Maswa naye alishambulia jukwaa |
| Huyu ni Kitundu Katibu wa CCM Korogwe |
| Juma Mpeni, Katibu wa CCM Mbinga alitoa nasaha zake kwa wananchi na wapiga kura wa Kalenga |
| Julius Peter |
| Mbosa kada maarufu wa CCM |
| Kaimu Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga alizungumzia kwa kirefu kile alichoita kampuni ya Chadema na kwamba si chama cha siasa |
| Hapa ilikuwa zamu ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu aliyewasihi wana Kalenga kutotoa lift kwa Chadema |
| Akawapandisha makamanda wa Chadema waliojiunga na CCM hivikaribuni |
| Mgombea ubunge mwenye alipandishwa kwa mbwembwe kuzungumza na wananchi na kuomba kura |