Header Ads

MAUAJI YA KUTISHA ... KIKONGWE AUAWA KWA IMANI ZA KISHIRIKINA WILAYANI KAHAMA, MWALI WAKE AHUSISHWA... SAMAHANI KWA PICHA HIZI

Jinsi Bi Rebeka alivyopigwa shoka kichwani hadi ubongo kutoka nje


Muonekano wa Mwili wa Marehemu kwa nje

Imeelezwa kuwa Merehemu Rebeka ambaye alikuwa akiishi kwa mwanae mkubwa Stanley Sengasenga katika mtaa huo alifika kwa Bundala muda huo baada ya kuitwa na Magreth Richard ambaye ni mke wa Bundala kwa ajili ya shughuli hiyo.



Mwili wa Bi Rebeka ukiwa eneo la tukio
Mwili wa Marehemu Bi Rebeka ukiondolewa eneo la tukio kupelekwa Mochwari
Powered by Blogger.