MTOTO WA AJABU MWENYE UMBO LA CHURA AZALIWA, ..... JIONEE MAAJABU HAYA .... SAMAHANI KWA PICHA
Mama wa mtoto huo hakuweza kuongea lolote zaidi alilia kwa uchungu kwani na yeye alishikwa na bumbuazi juu ya kilichotokea akihisi ni ndoto. ukimuangalia zaidi mtoto huyo unaweza kugundua kuwa ana umbo la chura,eeeeh mungu heal the world. inastaajabisha ila habari ndiyo iko hivyo ukionacho ndicho kilichotokea MTOTO HUYO HAKUAZALIWA MZIMA ALIZALIWA AKIWA AMEKUFA R.I.P

Habari zaidi zinasema kuwa mtoto huyo alizaliwa akiwa amekwisha fariki
na alizaliwa kwa njia ya upasuaji,chanzo cha tatizo la mtoto huyo
hakikuweza kufahamika mara moja mpaka tunaenda mtandaoni madaktari
walikuw wakiendelea na uchunguzi.