VURUGU ZA WAMACHINGA MWANZA MABOMU YA MACHOZI YARINDIMA ZAIDI YA SAA 3, BIASHARA ZAFUNGWA KABISA.
![]() |
Jeshi la polisi katika doria mtaa kwa mtaa.PICHA KWA Normal
HISANI GSENGO![]() |
Hapakukalika. |
![]() |
Hakuna biashara kila mtaa uligeuka kuwa mchungu. |
![]() |
Askari zimamoto washiriki zoezi la kuzima moto uliowashwa na wamachinga na kuhatarisha usalama wa msikiti wa Hindu wanaosali masinga singa. |