WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA

Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick
Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha
katiba mpya inapatikana.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA wakisisitiza jambo.