Header Ads

HIVI NDIVYO RONALDO ALIVYOPOKEA TUZO ZA BALLOND'OR


Huu ndio mpangilio wa jinsi Ronaldo na Messi walitakiwa kukaa kwenye utoaji wa tuzo hii.
Usiku wa January 13 2014 huko Zurich ndio Cristiano Ronaldo wa Real Madrid amekabidhiwa tuzo yake ya Ballon d’Or kutoka FIFA ambapo zifuatazo ni pichaz za matukio mbalimbali kwenye utoaji tuzo huo.
Hapa ndio wanasikilizia mshindi kuitwa.
Hapa ndio wanasikilizia, Ronaldo, Messi na Ribery.
Ndio anaichukua
Ndio anaichukua
Ronaldo alipochukua chake
.
Ronaldo alikwenda na mwanae kupokea tuzo yake
Ronaldo alikwenda na mwanae kupokea tuzo yake
Messi akisalimiana na girlfriend wa Ronaldo.
.
Ronaldo akitokwa machozi baada ya kutangazwa mshindi.
Ronaldo akitokwa machozi baada ya kutangazwa mshind
Powered by Blogger.