Header Ads

MAJANGA YANAENDELEA MAN UNITED, YAPIGWA NA STOKE!

>>EVERTON YASHINDA, SPURS YABANWA!
>>JUMAPILI: ARSENAL v PALACE, WBA v LIVERPOOL!
MATOKEO:
Jumamosi Februari 1
Newcastle 0 Sunderland 3
West Ham 2 Swansea 0
Cardiff 2 Norwich 1
Everton 2 Aston Villa 1
Fulham 0 Southampton 3
Hull 1 Tottenham 1
Stoke 2 Man Utd 1
++++++++++++++++++++++++++
STOKE CITY 2 MAN UNITED 1
BPL2013LOGOBao mbili za Charlie Adam zimewapa Stoke ushindi wao wa kwanza kwenye Ligi tangu Mwaka 1984 dhidi ya Man United walipoichapa 2-1 Uwanjani Britannica.
Man United, wakianza Mechi kwa kuwachezesha kwa pamoja kwa mara ya kwanza Juan Mata, Robin van Persie na Wayne Rooney, walipata pigo kwa kuwapoteza Msentahafu wao wawili Jony Evans na Phil Jones walioumia Kipindi cha Kwanza tu, na bahati ilizidi kuwa mbaya kwao baada ya Frikiki ya Adams kumbabatiza Michael Carrick na kutinga wavuni.
Baada Kipindi cha Pili kuanza, Van Persie aliisawazishia Man United lakini Shuti la Mita 25 la Adams liliwapa ushindi Stoke.
VIKOSI:
Stoke City: Begovic; Cameron, Shawcross, Wilson, Pieters; Odemwingie, Whelan, Adam, Arnautovic, Walters; Crouch
Akiba: Sorensen, Muniesa, Palacios, Guidetti, Assaidi, Shotton, Ireland.
Manchester United: De Gea, Jones, Evans, Smalling, Evra, Carrick, Cleverley, Young, Rooney, Mata, van Persie.
Akiba: Lindegaard, Rafael, Valencia, Fletcher, Januzaj, Hernandez, Welbeck.
Refa: Neil Swarbrick
++++++++++++++++++++++++++
CARDIFF CITY 2 NORWICH CITY 1
Cardiff walitoka nyuma na kuichapa Norwich Bao 2-1 na kujinasua toka mkiani na kumpa Pointi za kwanza Meneja Ole Gunnar Solskjaer.
Robert Snodgrass aliipa Norwich Bao la kuongoza lakini Mchezaji mpya wa Mkopo kutoka Man United, Wilfried Zaha, alitoa pasi safi kwa Craig Bellamy na kisha mpya mwingine, Kenwyne Jones, kuwapa ushindi kwa kufunga Bao la Pili.
VIKOSI:
Cardiff City: Marshall; Fabio, Caulker, Turner, John; Whittingham, Medel, Mutch, Noone; Bellamy, Jones
Norwich City: Ruddy; Martin, R Bennett, Bassong, Olsson; Snodgrass, Tettey, Johnson, Gutierrez; Elmander, Hooper.
Refa: Mark Clattenburg
++++++++++++++++++++++++++
EVERTON 2 ASTON VILLA 1
Everton walitoka nyuma kwa Bao 1 na kuifunga Villa Bao 2-1 kwa Bao za Naismith na Mirallas na Bao la Villa kufungwa na Bacuna.
VIKOSI:
Everton: Howard, Baines, Jagielka, McGeady, Mirallas, Distin, McCarthy, Barry, Barkley, Osman, Stones
Aston Villa: Guzan, Bertrand, Vlaar, Clark, Baker, Bertrand, Westwood, Delph, Weimann, Benteke, Holt.
Refa: Robert Madley
++++++++++++++++++++++++++
FULHAM 0 SOUTHAMPTON 3
Bao 3 za Kipindi cha Pili za Lallana, Lambert na Rodriguez, zimewapa ushindi Southampton wa Bao 3-0 walipoichapa Fulham iliyokuwa kwao Craven Cottage na kuitupa mkiani mwa Ligi.
VIKOSI:
Fulham: Stekelenburg; Riether, Hangeland, Burn, Richardson; Duff, Sidwell, Kvist, Parker, Holtby; Bent
Southampton: Boruc, Chambers, Fonte, Yoshida, Shaw, Wanyama, Schneiderlin, S. Davis, Lallana, Rodriguez, Lambert.
Refa: Mike Jones
++++++++++++++++++++++++++
HULL CITY 1 TOTTENHAM 1
Hull na Tottenham zilitoka Sare ya Bao 1-1 baada ya Paulinho kuisawazishia Tottenham Bao wakati Hull walipotangulia kwa Bao la Long.
VIKOSI:
Hull City: Harper, Rosenior, Figueroa, Davies, McShane, Huddlestone, Meyler, Elmohamady, Brady, Jelavic, Long.
Tottenham: Lloris; Walker, Dawson, Vertonghen, Rose; Lennon, Bentaleb, Paulinho, Eriksen; Adebayor, Soldado.
Refa: Anthony Taylor
++++++++++++++++++++++++++
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA MECHI ZIJAZO:
[Saa za Bongo]
Jumapili Februari 2
16:30 West Brom v Liverpool
19:00 Arsenal v Crystal Palace
Jumatatu Februari 3
23:00 Man City v Chelsea
MSIMAMO:
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Man City
23
42
53
2
Arsenal
23
24
52
3
Chelsea
23
23
50
4
Liverpool
23
29
46
5
Everton
24
12
45
6
Tottenham
24
-1
44
7
Man Utd
24
10
40
8
Newcastle
24
1
37
9
Southampton
24
7
35
10
Aston Villa
24
-7
27
11
Stoke
24
-14
25
12
Swansea
24
-6
24
13
Hull
24
-7
24
14
Sunderland
24
-11
24
15
Norwich
24
-18
24
16
Crystal Palace
23
-16
23
17
West Brom
23
-6
22
18
West Ham
24
-9
22
19
Cardiff
24
-22
21
20
Fulham
24
-31
19

Powered by Blogger.