Header Ads

KATIBU BODI YA FILAMU AKUTANA NA WADAU


11_67667.jpg
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Nchini, Joyce Fisoo akizungumza na wadau wa Filamu Tanzania waliofika ofisini kwake kuzungumza masuala yanayohusiana na Maendeleo ya Filamu Nchini.Kualia ni Evance Stephen Meneja Masoko wa Kampuni ya Proin Production Ltd na Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Game First Quality Tanzania Ltd, Gideon Sangana.
2_0213c.jpg
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Nchini, Joyce Fisoo akizungumza na wadau wa Filamu Tanzania waliofika ofisini kwake kuzungumza masuala yanayohusiana na tasnia ya Filamu Nchini.
3_16706.jpg
Meneja Masoko wa Kampuni ya Game First Quality Tanzania Ltd, Gideon Sangana akimueleza jambo Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Nchini, Joyce Fisoo, wakati walipotembelea ofisi za bodi hiyo kuzungumza juu ya mambo yanayohusiana na Maendeleo ya Filamu.
Soma zaidi...
Powered by Blogger.