Header Ads

Taswira toka Bunge Maalum la katiba mjini Dodoma

 Wajumbe la Katiba Mhe. Sophia Simba (kushoto) akijadiliana jambo Mhe Janet Mbene pamoja na Profesa Ibrahim Lipumba
 Baadhi ya wabunge wakibadilishana mawazo kutoka kulia, Mhe. Jum Ali Khatibu, Mhe. Rashid Rai, Mhe. Kuga Mzirai na Mhe. Yusuf Manyanga
 Mhe.Ibrahimu Lipumba akichangia wakati wa semina ya kujadili rasimu ya kanuni za Bunge Maalum za mwaka 2014.
 Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba Mhe.Pandu Ameir Kificho (kushoto) akifurahia jambo na baadhi ya wabunge wa Bunge hilo kutoka Tanzania Visiwani.
 Mwenyekiti wa UPDP, Mhe. Fahami Dovutwa akijadiliana jambo na Mwenyekiti  wa TADEA Mhe. John Lifa Chipaka.
 Waziri mkuu Mhe.Mizengo Pinda akibadilishana mawazo na baadhi ya wajumbe wa Bunge maalumu la katiba baada ya kikao kuahirishwa 
 Mwenyekiti  wa chama cha NCCR-Mageuzi Mhe James Mbatia (aliyesimama) akiongea na Mwenyekiti wa chama cha TLP Mhe Augustino Lyatonga Mrema (aliyevaa kofia) semina ya kujadili rasimu ya kanuni zitakazo tumika wakati wa bunge maalum.
 Mhe.Peter Serukamba akichangia wakati wa semina ya kujadili kanuni za bunge la katiba mpya.
 Mhe Hawa Ghasia akichangia
 Mhe.Eng Christopher Chiza akijadiliana jambo na Mhe.Spika Anne Makinda.
 Mhe. Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto)  akiteta jambo na Mhe. Profesa Mark Mwandosya wakati wa kujadili rasimu ya kanuni za Bunge.
 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe. Anne Makinda na Makamu wa Rais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Idd wakifuatilia kwa makini semina ya kujadili kanuni za Bunge.
 Mhe Stella Manyanya akichangia wakati wa Semina hiyo
Wajumbe Mhe Zakhia Meghji (kulia) na Mhe Hilda Ngoiye wakitoka nje wakati wa mapumziko. Picha zote na Deusdedit Moshi wa Globu ya Jamii, Kanda ya Kati
Powered by Blogger.