Header Ads

UNDANI VIFO VYA WATOTO 3 NDANI YA BWAWA INASIKITISHA!

KUFUATIA vifo vya watoto watatu waliokufa kwa pamoja ndani ya bwawa la kuogelea ‘swimming pool’ kwenye Hoteli ya Landmark, Mbezi Beach jijini Dar, undani  wa vifo hivyo umejulikana, Amani lina kisa kamili.
Mmoja kati ya marehemu aliyepatwa na janga hilo.
Wanafunzi wakiomboleza kifo cha mwenzao.
Mmoja kati ya waombolezaji akilia kwa uchungu.
Powered by Blogger.