Header Ads

Sudan Kusini yakana barua ya kumkamata Machar

Serikali ya Sudan Kusini imepuuzilia mbali barua bandia inayosambazwa katika mitandao ya kijamii ikiamrisha jeshi la taifa hilo kumkamata aliyekuwa makamu wa rais Riek Machar akiwa hai ama akiwa amefariki.
Msemaji wa serikali alionekana katika runinga ya taifa na kutoa kile alichokitaja kuwa sababu saba kwa nini barua hiyo ni bandia ikiwemo ile ambayo inaenda kinyume na ukomeshaji wa uhasama uliokubalika.
Powered by Blogger.