Sudan Kusini yakana barua ya kumkamata Machar
Msemaji wa serikali alionekana katika runinga ya taifa na kutoa kile alichokitaja kuwa sababu saba kwa nini barua hiyo ni bandia ikiwemo ile ambayo inaenda kinyume na ukomeshaji wa uhasama uliokubalika.
Reviewed by Unknown
on
4:06 AM
Rating: 5