Header Ads

LA LIGA: BARCA YATETEREKA, YABANWA NA TIMU WALIYOIPIGA 7-0!

>>ATLETICO KUTWAA UONGOZI LA LIGA??
MESSI_MAUMIVUESTADI CIUTAT DE VALENCIA, Jijini Valencia, Usiku huu ilishuhudia Levante, Timu iliyochapwa Bao 7-0 huko Nou Camp kwenye Mechi ya Kwanza ya La Liga Msimu huu, ikigangamala na kuwafanya Mabingwa na Vinara wa Ligi, FC Barcelona, wahahe na kupata suluhu ya Bao 1-1.
Levante ndio walitangulia kupata Bao katika Dakika ya 10 kwa Bao la Vyntra na Gerard Pique kuisawazishia Barca katika Dakika ya 19.
Matokeo haya bado yameibakisha Barca kileleni lakini ikiwa baadae Usiku huu Atletico Madrid wataifunga Sevilla, Klabu hiyo ya Jijini Madrid watatwa uongozi na kuwa Pointi 2 mbele ya Barca na 3 mbele ya Real Madrid.
VIKOSI VILIVYOANZA:
Levante: Keylor, Navas, Navarro, Vyntra, El Zhar, Ruben, Juanfran, Nikos, Lopez, Ivanschitz, Diop y Simao.
Barcelona: Valdes, Montoya, Pique, Mascherano, Alba, Xavi, Busquets, Fabregas, Pedro, Messi, Alexis.
LA LIGA:
MSIMAMO-Timu za Juu:
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
FC Barcelona
20
16
3
1
54
13
41
51
2
Real Madrid CF
20
16
2
2
58
21
37
50
3
Atletico Madrid
19
16
2
1
47
11
36
50
RATIBA/MATOKEO:
[Saa za Bongo]
Ijumaa Januari 17
Malaga CF 0 Valencia 0
Jumamosi Januari 18
Real Betis 0 Real Madrid 5
Elche CF 2 Rayo Vallecano 0
Granada CF 0 Osasuna 0
RCD Espanyol 1 Celta de Vigo 0
Jumapili Januari 19
Getafe CF 2 Real Sociedad 2
Villarreal CF 2 UD Almeria 0
Levante 1 FC Barcelona 1
23:00 Atletico de Madrid v Sevilla FC
Powered by Blogger.