Header Ads

TASAF YAFUNGUA SEMINA ELEKEZI KWA MAAFISA WAKE JIJINI DAR LEO

 Maafisa ufuatiliaji wa TASAF wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga (aliyeketi katikati) baada ya kufungua semina elekezi jijini DSM
 Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF ,Ladislaus Mwamanga akisisitiza jambo wakati alipofungua semina elekezi kwa maafisa ufuatiliaji (TA) iliyofanyika kwenye ukumbi wa CEEMI jijini DSM.
 Baadhi ya Maafisa ufuatiliaji ambao wanatarajiwa kuanza kazi katika halmashauri kadhaa za wilaya nchini wakimsikiliza mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga (hayupo pichani)alipofungua semina elelekezi .
Mkurugenzi wa Uratibu wa TASAF Alphonce Kyariga akitoa neno la utangulizi kwa maafisa Ufuatiliaji wa TASAF ambao wameanza semina  elekezi ya siku TATU kwenye ukumbi wa CEEM jijini DSM.
Powered by Blogger.