TUJIKUMBUSHE: MAGOLI YOTE YA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA LILILOPITA[2010] NCHINI AFRIKA KUSINI
Kabla hatujaanza kushuhudia mabao yakipachikwa na walinda milango wakielekea kwenye nyavu zao kuokota mipira huko nchini Brazil,hebu tujikumbushe ilikuwaje kule nchini Afrika Kusini ambapo bara la Afrika lilipewa nafasi ya kuandaa fainali za Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza. Jumla ya magoli 145 yaliwekwa wavuni.Haya hapa