Header Ads

WAZIRI HAWA GHASIA USO KWA USO NA MHE JOHN MNYIKA MOROGORO.

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Tamisemi Hawa Ghasia akizungumza jambo na mbunge wa jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam, John Mnyika mara baada ya waziri huyo kufungua mkutano wa viongozi wa siasa kujadili maoni ya kuboresha kanuni za uchaguzi wa viongozi wa Mamlaka za serikali za mitaa mjini Morogoro..
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro Innocent Kalogeria kulia naye akizungumza na Mwenyekiti wa Chadema mkoa huo wa Morogoro Suzan Kiwanga baada ya ufunguzi huo.PICHA/MTANDA BLOG.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Tamisemi Hawa Ghasia akizungumza jambo wakati akifungua mkutano wa viongozi wa siasa kujadili maoni ya kuboresha kanuni za uchaguzi wa viongozi wa Mamlaka za serikali za mitaa mjini Morogoro.
Powered by Blogger.