Header Ads

SERIE A: MECHI AS ROMA v PARMA YAVUNJIKA BAADA DAKIKA 8

>>LEO USIKU JUVE YAIKWAA INTER MILAN, KUZIDI KUPAA KILELENI??
MECHI ya Serie A huko Italy ya hivi Jioni kati ya AS Roma na Parma iliyokuwa inachezwa StadioJUVE_UBINGWA Olimpico, Nyumbani kwa AS Roma, ilivunjwa baada ya Dakika 8 tu baada Uwanja kujaa maji kufuatia Mvua kubwa.
Refa Andrea De Marco aliisimamisha Mechi hiyo baada kuona Mpira hauchezeki.
AS Roma wapo Nafasi ya Pili Pointi 6 nyuma ya Vinara Juventus ambao baadae Usiku huu wapo kwao kucheza na Inter Milan.
RATIBA/MATOKEO:
Jumapili Februari 2
Atalanta 3 Napoli 0
Chievo Verona 0 Lazio 2
AS Roma v Parma [Mechi imevunjwa sababu ya Mvua]
Catania 3 Livorno 3
Sassuolo 1 Hellas Verona 2
2245 Juventus v Inter Milan
MSIMAMO-Timu za Juu:
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Juventus FC
21
18
2
1
51
15
36
56
2
AS Roma
21
15
5
1
45
11
34
50
3
SSC Napoli
22
13
5
4
44
26
18
44
4
ACF Fiorentina
22
12
5
5
40
24
16
41
5
Hellas Verona
22
11
2
9
37
35
2
35
6
Inter Milan
21
8
9
4
38
24
14
33
7
Torino FC
22
8
9
5
35
28
7
33
8
Parma FC
21
8
8
5
32
27
5
32
9
SS Lazio
22
8
7
7
29
29
0
31
10
AC Milan
22
7
8
7
35
32
3
29
11
Genoa CFC
21
7
6
8
23
27
-4
27
 

LIGI KUU ENGLAND: WBA YAIBANA LIVERPOOL!

Sunday, 02 February 2014 18:42
Print PDF
>>KOLO TOURE ATOA ‘ZAWADI’!!
++++++++++++++++++++++++++
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA/MATOKEO:
[Saa za Bongo]
Jumapili Februari 2
West Brom 1 Liverpool 1
19:00 Arsenal v Crystal Palace
++++++++++++++++++++++++++
BPL2013LOGOBEKI wa Liverpool Kolo Toure alitoa pasi fyongo iliyomkuta Straika Victor Anichebe na kuisawazishia West Bromwich Albion katika Dakika ya 67 baada ya kuwa nyuma tangu Dakika ya 24 walipofungwa na Daniel Sturridge aliepokea pasi safi toka kwa Luis Suarez.
Sare hii imezibakisha Timu zote mbili kwenye Nafasi zao zilezile kwa Liverpool kubaki Nafasi ya 4 na WBA kushika Nafasi ya 17.
VIKOSI:
West Brom: Foster, Jones, McAuley, Olsson, Ridgewell, Yacob, Mulumbu, Gera, Berahino, Vydra, Brunt 
Akiba: Myhill, Reid, Sinclair, Lugano, Anichebe, Dorrans, Amalfitano.
Liverpool: Mignolet, Flanagan, Cissokho, Toure, Skrtel, Gerrard, Henderson, Sterling, Coutinho, Suarez, Sturridge
Akiba: Jones, Luis Alberto, Aspas, Moses, Allen, Ibe, Kelly.
Refa: Kevin Friend
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA MECHI ZIJAZO:
[Saa za Bongo]
Jumatatu Februari 3
23:00 Man City v Chelsea
Jumamosi Februari 8
1545 Liverpool v Arsenal
1800 Aston Villa v West Ham
1800 Chelsea v Newcastle
1800C rystal Palace v West Brom
1800 Norwich v Man City
1800 Southampton v Stoke
1800 Sunderland v Hull
2030 Swansea v Cardiff
Jumapili Februari 9
1630 Tottenham v Everton
1900 Man United v Fulham
Jumanne Februari 11
2245 Cardiff v Aston Villa
2245 Hull v Southampton
2245 West Ham v Norwich
2300 West Brom v Chelsea
Jumatano Februari 12
2245 Arsenal v Man Unitwd
2245 Everton v Crystal Palace
2245 Man City v Sunderland
2245 Newcastle v Tottenham
2245 Stoke v Swansea
2300 Fulham v Liverpool
MSIMAMO:
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Man City
23
42
53
2
Arsenal
23
24
52
3
Chelsea
23
23
50
4
Liverpool
24
29
47
5
Everton
24
12
45
6
Tottenham
24
-1
44
7
Man Utd
24
10
40
8
Newcastle
24
1
37
9
Southampton
24
7
35
10
Aston Villa
24
-7
27
11
Stoke
24
-14
25
12
Swansea
24
-6
24
13
Hull
24
-7
24
14
Sunderland
24
-11
24
15
Norwich
24
-18
24
16
Crystal Palace
23
-16
23
17
West Brom
24
-6
23
18
West Ham
24
-9
22
19
Cardiff
24
-22
21
20
Fulham
24
-31
19
Powered by Blogger.